vaccine image

TECOBLAX ni chanjo inayokinga ng’ombe, kondoo na mbuzi dhidi ya ugonjwa wa Kimeta na Chambavu. Chambavu ni ugonjwa unaoathiri ng’ombe na kondoo na hupelekea kifo. Ugonjwa wa chambavu husababishwa na kimelea cha Clostridium chauvoei. Kimeta ni ugonjwa unasababiashwa na kimelea cha Bacillus anthracis. TECOBLAX inazalishwa kulingana na vijwango vya ubora chini ya muongoza wa viwango vya ubora wa ISO 9001:2015 pamoja na viwango na miongozo ya Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (WOAH).