DHAMIRA YA WAKALA

Kutoa mchango stahiki katika kuimarisha uzalishaji endelevu wa sekta ya Mifugo, usalama wa chakula na kuchangia kwenye uchumi wa Taifa kupitia utoaji wa huduma bora za uchunguzi na utambuzi wa magonjwa ya mifugo kwa gharama nafuu, huduma bora za uchambuzi wa kiveterinari, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa bora za veterinari na kufanya tafiti juu ya magonjwa ya wanyama na wadudu waenezao magonjwa