MEATU-SIMIYU

MTAA WA BOMANI 04 BARABARA YA NIDA,

MWANHUZI MEATU.

1) Uchunguzi na utambuzi ya magonjwa ya Wanyama,

2) Utafiti wa Magonjwa ya Wanyama,

3) Usambaji wa chanjo za mifugo  hasa zile zinazozalishwa na TVI

4) Kuchukua na kuhakiki ubora wa vyakula vya mifugo kwa kushirikiana na CVL      

5) Kuchukua sampuli za dawa za  majosho  na kuangalia uwezo wake kwa kushirikiana  na CVL

6) Kutoa elimu na ushauri wa uthibiti wa wagonjwa na ufugaji bora              

TUNAHUDUMIA MIKOA  MITATU (3):

Mkoa wa Simiyu,

Mkoa wa Shinyanga na

Mkoa wa Mara