TUNAFANYA NINI

Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) katika kutekeleza kazi zake kutokana na malengo ya kuundwa kwake ina majukumu kadhaa inayoyatekeleza ambayo ni pamoja na;

  1. Uchunguzi na utambuzi wa Magonjwa ya Wanyama;
  2. Uzalishaji na usambazaji wa Chanjo za Mifugo;
  3. Uhakiki wa Ubora wa Vyakula vya Mifugo;
  4. Usajili na uthibiti wa ubora wa viuatilifu vya Mifugo;
  5. Utafiti wa magonjwa ya Wanyama na wadudu waenezao magonjwa hayo; na
  6. Kutoa huduma za ushauri na mafunzo.